Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on April 9, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on March 15, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Aziza (Guest) on March 12, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mahiga (Guest) on March 7, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Andrew Odhiambo (Guest) on February 24, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on January 26, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mwanakhamis (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Kiwanga (Guest) on January 1, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 17, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on November 11, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Shukuru (Guest) on September 23, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Monica Nyalandu (Guest) on September 1, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on August 20, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on June 25, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on May 21, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Wande (Guest) on April 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Moses Kipkemboi (Guest) on April 25, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Tambwe (Guest) on April 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaisha (Guest) on April 11, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mahiga (Guest) on March 29, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nora Lowassa (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on March 22, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on February 1, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Maida (Guest) on January 15, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Charles Wafula (Guest) on December 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Thomas Mtaki (Guest) on December 3, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on November 6, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on September 24, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwajabu (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mwambui (Guest) on July 27, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shamim (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mariam Hassan (Guest) on May 9, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on March 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on February 13, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on February 9, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 14, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Safiya (Guest) on January 7, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 4, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Baraka (Guest) on January 1, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on December 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on December 4, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nahida (Guest) on November 23, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 5, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mashaka (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Grace Majaliwa (Guest) on October 20, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on October 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mary Kidata (Guest) on October 3, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Diana Mallya (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on September 10, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Benjamin Masanja (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on July 10, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More