Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa





AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Malima (Guest) on December 31, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Charles Mchome (Guest) on December 17, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on December 11, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on November 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on November 5, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Stephen Mushi (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on October 11, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 9, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nahida (Guest) on September 29, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Peter Mugendi (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Monica Lissu (Guest) on September 13, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kheri (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Irene Makena (Guest) on August 22, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

David Ochieng (Guest) on August 9, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Dorothy Nkya (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on July 10, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on June 29, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Fadhili (Guest) on June 13, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Tabitha Okumu (Guest) on June 11, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on May 31, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on May 21, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on May 15, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Victor Kamau (Guest) on May 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on April 24, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on March 22, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Yahya (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on March 13, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on January 30, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Naliaka (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Safiya (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on November 10, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on November 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Amina (Guest) on November 6, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Malima (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Mduma (Guest) on August 20, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanais (Guest) on August 14, 2020

Asante Ackyshine

Mercy Atieno (Guest) on July 27, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on July 8, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Martin Otieno (Guest) on June 19, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Nchi (Guest) on June 12, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Amani (Guest) on May 31, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Thomas Mtaki (Guest) on May 27, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Rabia (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Patrick Mutua (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mchawi (Guest) on April 10, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Abubakari (Guest) on April 9, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Fikiri (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Frank Sokoine (Guest) on March 24, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on March 22, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 6, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sofia (Guest) on March 4, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Peter Mbise (Guest) on March 3, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Macha (Guest) on February 18, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on February 11, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on February 4, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on February 4, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Warda (Guest) on January 21, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Angalia uhuni wa huyu dereva

Angalia uhuni wa huyu dereva

Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin ume... Read More
Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More