Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Andrew Odhiambo (Guest) on March 29, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Zakia (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Furaha (Guest) on February 18, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on January 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Tabu (Guest) on January 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Sokoine (Guest) on January 1, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on December 13, 2021

🀣πŸ”₯😊

Kheri (Guest) on November 29, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on November 28, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Malima (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on November 23, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Raphael Okoth (Guest) on November 20, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mwanakhamis (Guest) on November 3, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Malela (Guest) on October 23, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on October 13, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on October 7, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Mallya (Guest) on September 22, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 3, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on July 22, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Amollo (Guest) on July 16, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on June 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on June 15, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 30, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on May 15, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on May 14, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on April 24, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 4, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Chacha (Guest) on March 30, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on March 20, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fikiri (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Alex Nakitare (Guest) on January 27, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on January 7, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 8, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sharifa (Guest) on November 21, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on November 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Amina (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on September 12, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on September 2, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on August 26, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Masika (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kimario (Guest) on August 17, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on July 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on July 29, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on July 9, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Amir (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Husna (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Mahiga (Guest) on June 24, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on April 24, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on March 29, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Rahim (Guest) on March 9, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nashon (Guest) on March 8, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More