Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Andrew Odhiambo (Guest) on March 29, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Zakia (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Furaha (Guest) on February 18, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on January 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Tabu (Guest) on January 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Sokoine (Guest) on January 1, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on December 13, 2021

🀣πŸ”₯😊

Kheri (Guest) on November 29, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on November 28, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Malima (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on November 23, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Raphael Okoth (Guest) on November 20, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mwanakhamis (Guest) on November 3, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Malela (Guest) on October 23, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on October 13, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on October 7, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Mallya (Guest) on September 22, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 3, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on July 22, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Amollo (Guest) on July 16, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on June 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on June 15, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 30, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on May 15, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on May 14, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on April 24, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 4, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Chacha (Guest) on March 30, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on March 20, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fikiri (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Alex Nakitare (Guest) on January 27, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on January 7, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 8, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sharifa (Guest) on November 21, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on November 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Amina (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on September 12, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on September 2, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on August 26, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Masika (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kimario (Guest) on August 17, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on July 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on July 29, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on July 9, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Amir (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Husna (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Mahiga (Guest) on June 24, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on April 24, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on March 29, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Rahim (Guest) on March 9, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nashon (Guest) on March 8, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More