Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Featured Image

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.

Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

James Mduma (Guest) on October 7, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 13, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on June 11, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More