Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

Featured Image

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama zao, dhidi ya utoaji mimba au hatari nyingine dhidi ya uhai wa binadamu)

Ee Mt. Yosefu, wewe ni Mchumba safi na Mpenzi wa Bikira Maria, u Baba Mlishi wa Yesu, mlinzi na mtunzaji wa Familia Takatifu, na wa familia zote. Tuna imani kabisa katika uangalizi wako uliojaa upendo, juu ya uhai mpya, na uaminifu wako kwa familia.

Tunaweka jitihada zetu chini ya ulinzi wa sala zako. Utusaidie daima katika kutetea zawadi ya uhai wa binadamu, ili ukue hadi uzima wa milele ulioahidiwa na kujaliwa kwetu na Mwanao, Ndugu yetu, Yesu Kristu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Joyce Aoko (Guest) on October 13, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Wilson Ombati (Guest) on September 26, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Mary Njeri (Guest) on September 2, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Betty Akinyi (Guest) on June 23, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Henry Mollel (Guest) on April 20, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Joyce Nkya (Guest) on April 12, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Mariam Kawawa (Guest) on January 24, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Chris Okello (Guest) on December 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

John Mwangi (Guest) on November 25, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Alice Jebet (Guest) on November 19, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Alice Mwikali (Guest) on November 7, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Ann Awino (Guest) on August 9, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Faith Kariuki (Guest) on July 10, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Charles Mrope (Guest) on March 21, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Chris Okello (Guest) on October 18, 2015

Nakuombea πŸ™

Charles Wafula (Guest) on September 23, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Simon Kiprono (Guest) on September 12, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

Mary Mrope (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Rose Lowassa (Guest) on August 13, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

George Ndungu (Guest) on June 10, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Janet Sumari (Guest) on May 31, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lydia Mahiga (Guest) on May 30, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Related Posts

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More