Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA MATUMAINI

Featured Image

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na utukufu mbinguni,

kwani ndiwe uliyeagana hayo nasi,

nawe mwamini. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on August 24, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joyce Mussa (Guest) on June 19, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Violet Mumo (Guest) on March 8, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mary Sokoine (Guest) on March 1, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Musyoka (Guest) on February 10, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Esther Nyambura (Guest) on December 1, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Joseph Kiwanga (Guest) on November 30, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Andrew Mchome (Guest) on October 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Peter Tibaijuka (Guest) on June 7, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Mariam Kawawa (Guest) on May 18, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Ochieng (Guest) on April 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lydia Wanyama (Guest) on February 21, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

John Lissu (Guest) on February 14, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Francis Njeru (Guest) on December 16, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jacob Kiplangat (Guest) on October 31, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Victor Kamau (Guest) on September 11, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Lissu (Guest) on June 24, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Alice Wanjiru (Guest) on May 31, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on May 24, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Joseph Kawawa (Guest) on May 8, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Related Posts

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI

Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More