Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALAMU MARIA

Featured Image

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa
Maria Mtakatifu
Mama wa Mungu
Utuombee sisi wakosefu
Sasa, na saa ya kufa kwetu.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kevin Maina (Guest) on January 24, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Josephine Nduta (Guest) on December 20, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Ann Awino (Guest) on November 5, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Brian Karanja (Guest) on September 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Moses Mwita (Guest) on August 19, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Lydia Mutheu (Guest) on July 31, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Catherine Naliaka (Guest) on July 29, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Grace Njuguna (Guest) on June 5, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Raphael Okoth (Guest) on May 23, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

John Lissu (Guest) on April 30, 2016

Sifa kwa Bwana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2016

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Raphael Okoth (Guest) on January 17, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Miriam Mchome (Guest) on November 11, 2015

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Hassan (Guest) on August 18, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Samson Tibaijuka (Guest) on August 4, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Janet Wambura (Guest) on May 16, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Related Posts

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)