Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Featured Image

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyike
Duniani kama mbinguni
Utupe leo mkate wetu wa kila siku
Utusamehe makosa yetu
Kama tunavyowasamehe
Na sisi waliotukosea
Usitutie katika kishawishi
Lakini utuopoe maovuni.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Moses Mwita (Guest) on August 12, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Elizabeth Mrema (Guest) on July 31, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Peter Mwambui (Guest) on June 16, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Michael Mboya (Guest) on June 10, 2017

Mungu akubariki!

Monica Lissu (Guest) on April 25, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Martin Otieno (Guest) on March 12, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Josephine Nekesa (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Elizabeth Mrope (Guest) on February 8, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Violet Mumo (Guest) on January 11, 2017

Nakuombea πŸ™

Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Agnes Sumaye (Guest) on December 6, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Ann Awino (Guest) on November 22, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Andrew Mahiga (Guest) on September 5, 2016

Rehema zake hudumu milele

Peter Tibaijuka (Guest) on September 5, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Lucy Mahiga (Guest) on April 30, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Bernard Oduor (Guest) on April 10, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Benjamin Kibicho (Guest) on January 27, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Christopher Oloo (Guest) on January 23, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Martin Otieno (Guest) on August 18, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Faith Kariuki (Guest) on July 4, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Elijah Mutua (Guest) on May 31, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Joseph Kitine (Guest) on May 5, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Related Posts

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

SALA YA NOVENA YA SIKU TISA KWA MT. YOSEFU, YA ZAMANI, MIAKA 1900 ILIYOPITA

Ee Mt. Yosefu, ambaye ulinzi wako ni mkubwa, wenye nguvu na wa haraka mbele ya Kiti cha Enzi cha ... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More