Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubwa sana ulipotazama mateso na kifo cha Mwana wako mpenzi. Muda ule uliweza kutuliz kidogo kwa sababu ya kumwona angali hai. Lakini je, baada ya kufa na kumzika? Sasa wewe ni mkiwa mkubwa mno! Uh, ukiwa wa pekee, uniombee mimi ninayempoteza mara nyingi kwa dhambi zangu. Unijalie nisimpoteze tena Yesu wangu kwa ubaya wa uvivu wangu, bali nimtumikie kiaminifu duniani hapa ili nimwone na kumfurahia milele mbinguni. Amina.
SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE
Date: January 1, 2016
Author: DIN - Melkisedeck Leon Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Sala kwa wenye kuzimia
Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU
Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA
Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO
Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More
SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU
Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More
SALA YA KUANGUKA MIGUUNI PA BWANA YESU KATIKA EKARISTI
Ee Yesu Mfungwa wa Upendo wa Mungu,/ ninapofikiri Upendo wako na jinsi ulivyojitolea kwa ajili ya... Read More
SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II
Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More
Kanuni ya imani
Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More
SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU
(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More
SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU
Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More
Rose Amukowa (Guest) on November 19, 2017
ππβ€οΈ Nakuombea heri
Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2017
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
David Chacha (Guest) on November 4, 2017
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
David Nyerere (Guest) on October 7, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mkombozi
Charles Wafula (Guest) on October 7, 2017
πβ€οΈ Mungu ni mwaminifu
Tabitha Okumu (Guest) on September 24, 2017
πβ¨ Mungu asikie maombi yetu
Edith Cherotich (Guest) on September 2, 2017
Amina
Lydia Mahiga (Guest) on August 26, 2017
πβ¨ Mungu atupe nguvu
George Mallya (Guest) on August 5, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
Vincent Mwangangi (Guest) on May 10, 2017
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
Elijah Mutua (Guest) on May 1, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
Ruth Wanjiku (Guest) on March 29, 2017
Mwamini katika mpango wake.
Elizabeth Mrema (Guest) on March 22, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Monica Adhiambo (Guest) on March 6, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
Frank Sokoine (Guest) on March 5, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Linda Karimi (Guest) on December 13, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016
πβ€οΈπ Tumshukuru Mungu kwa yote
Brian Karanja (Guest) on September 16, 2016
πβ€οΈπ Bwana akujalie baraka
Charles Wafula (Guest) on July 19, 2016
ππ Asante kwa neema zako Mungu
Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Moses Mwita (Guest) on January 25, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Peter Tibaijuka (Guest) on August 18, 2015
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
Anna Mahiga (Guest) on April 6, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi