Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA YA KUUABUDU MOYO MTAKATIFU WA YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

Featured Image

Kwa nguvu zangu zote za moyo wangu/ ninakuabudu ee Moyo Mtakatifu/ na Mwabudiwa sana,/ Moyo Mtakatifu wa Bwana wetu Yesu Kristu/ ambao ninataka kumpenda/ na kukusalimu kwa usikivu unaoendelea./ Kamwe nisikuudhi tena/ kwa sababu Wewe ni Mwema sana;/ Ee Mwema sana./ Ee Moyo Mtakatifu sana/ ninakupenda/ na ninataka kukupenda zaidi ya vitu vyote,/ kwa nguvu zangu zote/ na kwa uwezo wangu wote,/ ninatamani kuwa mali yako/ Wewe uliyejitoa Msalabani kwa ajili yangu/ kwa mateso makali./ Unionee huruma na udhaifu wangu/ na usiniruhusu kupotea./

Ninajitoa kabisa kwako/ ee moyo wa mapendo,/ kwa makusudi kuwa utu wangu,/ maisha na mateso yangu/ yalipie kukupenda,/ kukuheshimu/ na kukutukuza Wewe sasa na milele./ Ninakupenda ee Moyo Mwabudiwa wa Mwokozi wangu,/ ninakuomba kwako/ uamuru moyo wangu na kila kitu ndani yangu/ kikutukuze sasa na milele./ Amina.

(Na Mt Margareta Maria Alakoki)

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nyamweya (Guest) on September 13, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Joyce Nkya (Guest) on August 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on August 3, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Lydia Mutheu (Guest) on May 7, 2017

Rehema hushinda hukumu

Monica Adhiambo (Guest) on April 2, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Edward Chepkoech (Guest) on March 16, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017

Sifa kwa Bwana!

Stephen Amollo (Guest) on September 28, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Grace Wairimu (Guest) on September 26, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Violet Mumo (Guest) on July 21, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Dorothy Nkya (Guest) on June 19, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Grace Wairimu (Guest) on February 29, 2016

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Jacob Kiplangat (Guest) on February 16, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

John Lissu (Guest) on January 26, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Moses Kipkemboi (Guest) on January 25, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Elijah Mutua (Guest) on January 24, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Janet Mwikali (Guest) on January 20, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jackson Makori (Guest) on November 7, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Irene Akoth (Guest) on July 22, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Joseph Mallya (Guest) on July 19, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

David Chacha (Guest) on April 1, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Related Posts

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More