Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Featured Image

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kutujaza mapaji saba ya Roho Mtakatifu.

TUOMBE
Ee Mungu Mwenyezi wa milele, kwa wema na huruma yako ya ajabu, umetaka watu wako waokoke, ukamweka Malaika Mkuu Mikaeli kuwa Mkuu wa Kanisa lako, Utukinge na adui zetu, wasitusmbue saa ya kufa kwetu, bali tuongozwe naye kwenye utukufu wako Mkuu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana Wetu Yesu Kristo. Amina.

Utuombee Ee Mtukufu Mtakatifu Mikaeli Mkuu wa Kanisa la Yesu Kristo, tujaliwe ahadi za Kristo. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Mboya (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

James Malima (Guest) on June 13, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2018

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Thomas Mtaki (Guest) on April 10, 2018

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Henry Sokoine (Guest) on March 25, 2018

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Grace Njuguna (Guest) on March 9, 2018

Baraka kwako na familia yako.

Michael Onyango (Guest) on December 16, 2017

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Nora Lowassa (Guest) on November 12, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Margaret Anyango (Guest) on October 30, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Charles Mchome (Guest) on August 10, 2017

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

James Kawawa (Guest) on April 23, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Nora Lowassa (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Linda Karimi (Guest) on September 18, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Joyce Aoko (Guest) on September 8, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Grace Majaliwa (Guest) on July 12, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Daniel Obura (Guest) on July 2, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Joyce Mussa (Guest) on December 15, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Alex Nyamweya (Guest) on November 9, 2015

Sifa kwa Bwana!

Mercy Atieno (Guest) on October 25, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Charles Wafula (Guest) on October 9, 2015

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

David Sokoine (Guest) on July 17, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

James Kawawa (Guest) on April 24, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Related Posts

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More