Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Featured Image

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mtei (Guest) on February 4, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017

Sifa kwa Bwana!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Malima (Guest) on March 24, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017

Mungu akubariki!

Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Kahina (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake hudumu milele

Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on May 9, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)