Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Featured Image

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe nami leo hii,
Kuniangaza na kunilinda,
Kunitawala na kuniongoza.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Agnes Lowassa (Guest) on October 5, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Victor Malima (Guest) on September 1, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Stephen Kikwete (Guest) on August 27, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Thomas Mtaki (Guest) on May 10, 2017

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Brian Karanja (Guest) on May 2, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 30, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Victor Malima (Guest) on February 7, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Peter Mbise (Guest) on January 16, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Grace Mushi (Guest) on January 9, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Lydia Mutheu (Guest) on October 7, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Stephen Mushi (Guest) on September 24, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jane Muthui (Guest) on July 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 12, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2016

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Janet Sumari (Guest) on April 28, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Mary Sokoine (Guest) on April 3, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Lucy Mushi (Guest) on March 29, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Edwin Ndambuki (Guest) on January 8, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Peter Tibaijuka (Guest) on October 16, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Monica Adhiambo (Guest) on August 28, 2015

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Francis Mtangi (Guest) on August 17, 2015

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Betty Kimaro (Guest) on April 22, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Related Posts

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyikeRead More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)