Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

β€œEe Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa kwetu”.
Baba Yetu ……..
Salamu Maria ……. (mara tatu)
Nasadiki ………..

Kwenye chembe kubwa Sali (Badala ya β€˜Baba Yetu’):

β€œNinakuabudu, ninakutukuza na ninakupenda, Ee Moyo wa Yesu wangu mpenzi, uliopenywa na huzuni nyingi kwa ajili ya dhambi, ambazo zimekuwa zikitendwa hata leo, dhidi ya Sakramenti Takatifu sana ya Altare. Ninakutolea hapo kwa kuridhika, moyo wa Mama yako mpendevu, na mastahili ya watakatifu. Amina”.

Kwenye chembe ndogo sali (Badala ya β€˜Salamu Maria’):

β€œEe Moyo Mtakatifu wa Yesu, uwakao mapendo kwetu, washa nyoyo zetu kwa mapendo yako"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Paul Kamau (Guest) on February 20, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Violet Mumo (Guest) on December 12, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Robert Okello (Guest) on September 14, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

George Wanjala (Guest) on August 31, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Daniel Obura (Guest) on June 21, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

George Ndungu (Guest) on June 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ruth Kibona (Guest) on May 27, 2017

Dumu katika Bwana.

Bernard Oduor (Guest) on January 29, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Edward Lowassa (Guest) on January 20, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Alex Nyamweya (Guest) on November 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Ann Awino (Guest) on October 14, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Peter Mwambui (Guest) on July 24, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Margaret Anyango (Guest) on July 18, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on May 28, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on May 3, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Lydia Mahiga (Guest) on March 21, 2016

Rehema hushinda hukumu

Diana Mumbua (Guest) on March 9, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Catherine Mkumbo (Guest) on March 7, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Sumari (Guest) on February 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

James Malima (Guest) on January 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

James Kimani (Guest) on October 25, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

John Kamande (Guest) on July 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

David Musyoka (Guest) on June 14, 2015

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on June 13, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Related Posts

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More