Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mchome (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Warda (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ramadhan (Guest) on February 12, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on January 19, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Zulekha (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 16, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on September 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Kawawa (Guest) on August 30, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Betty Akinyi (Guest) on August 28, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Tambwe (Guest) on August 15, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Hashim (Guest) on August 1, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kheri (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Mwinuka (Guest) on July 25, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Malima (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜† Kali sana!

David Nyerere (Guest) on June 6, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Chris Okello (Guest) on May 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Kijakazi (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Selemani (Guest) on March 8, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Mbithe (Guest) on January 23, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on January 22, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Akinyi (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Kamande (Guest) on December 20, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Jaffar (Guest) on December 11, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Omari (Guest) on December 11, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Lissu (Guest) on December 5, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on November 17, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Amani (Guest) on October 31, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Betty Cheruiyot (Guest) on October 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 17, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Irene Makena (Guest) on August 21, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Josephine (Guest) on July 31, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on July 10, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Faith Kariuki (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Bakari (Guest) on May 15, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Maulid (Guest) on May 6, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Akumu (Guest) on May 5, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on May 3, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Kawawa (Guest) on April 21, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on March 15, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on February 21, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on February 19, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Paul Ndomba (Guest) on February 11, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Janet Mbithe (Guest) on February 9, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on December 28, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 15, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Chiku (Guest) on November 22, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Betty Kimaro (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on November 15, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on November 5, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More