Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Featured Image

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwisharudi,jamaa alikasirika sana.

Siku ya 2
akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50
akapiga chochoro za kutosha kisha
akamtupa,akaanza safar ya kurud nyumban
baada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mke
wangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangu
tena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebu
mpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea😳

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Catherine Mkumbo (Guest) on November 25, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Catherine Naliaka (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 6, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 18, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on September 30, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on August 21, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rukia (Guest) on June 27, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Jane Muthoni (Guest) on June 27, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Kibona (Guest) on May 29, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on May 15, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwakisu (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kenneth Murithi (Guest) on March 20, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on March 14, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Otieno (Guest) on March 7, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Mligo (Guest) on January 23, 2021

Asante Ackyshine

Stephen Mushi (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on January 13, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on December 27, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 20, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 19, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wilson Ombati (Guest) on December 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on November 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Samuel Were (Guest) on October 28, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Rose Amukowa (Guest) on October 23, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on October 18, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Violet Mumo (Guest) on October 4, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on September 28, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Makame (Guest) on September 18, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine (Guest) on August 29, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Edward Chepkoech (Guest) on August 18, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Betty Akinyi (Guest) on August 17, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on August 5, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on July 26, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Catherine Naliaka (Guest) on July 4, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 2, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on June 19, 2020

😊🀣πŸ”₯

Mary Kendi (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Kikwete (Guest) on May 4, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on April 23, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on April 10, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Mahiga (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on March 19, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on March 13, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

James Kimani (Guest) on March 3, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 26, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mazrui (Guest) on January 22, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nahida (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Kimaro (Guest) on January 6, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Mallya (Guest) on December 2, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Michael Onyango (Guest) on November 26, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on November 24, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on October 23, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on October 11, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More