Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Smart phone), kukawa na jamaa kasimama pembeni yangu, ye hakupata seat. Sasa akawa anasoma message zangu bila aibu yani anafutilia ninavyochati…

Basi nikasema ngoja nimtie Adabu mshenzi huyu…. Nikacheck saa yangu yamkononi kisha nikatext:Β "Oya Ben Kwaheri bwana, zimebaki sekunde 30 tu hili bomuπŸ’£ lilipuke… najua hatutaonana tena, nitunzie Familia yangu, wambie nawapenda sana…"Β Yule jamaa akajirusha dirishaniβ€¦β€¦πŸ˜‚πŸ˜…

​kwani mi napenda ujinga xx πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on February 27, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on January 21, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Andrew Mahiga (Guest) on December 25, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on December 16, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Philip Nyaga (Guest) on November 15, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on October 20, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on September 23, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Frank Macha (Guest) on September 8, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on August 28, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on August 21, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on August 12, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 19, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Patrick Akech (Guest) on July 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on June 15, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Warda (Guest) on June 13, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Arifa (Guest) on June 13, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on May 30, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Stephen Malecela (Guest) on May 28, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on April 21, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Mchome (Guest) on March 21, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on March 19, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

David Chacha (Guest) on March 19, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 15, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on March 13, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on December 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Faith Kariuki (Guest) on November 19, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on November 17, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on October 15, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Sokoine (Guest) on September 24, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Jamila (Guest) on August 20, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 7, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on June 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on June 10, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Kheri (Guest) on June 4, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lucy Mushi (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Esther Nyambura (Guest) on May 19, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Catherine Naliaka (Guest) on April 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on December 28, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 21, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on November 13, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on November 2, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Zuhura (Guest) on November 2, 2019

Asante Ackyshine

Moses Mwita (Guest) on October 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More