Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Jebet (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Salima (Guest) on August 23, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nuru (Guest) on August 14, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joseph Kawawa (Guest) on August 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on June 26, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on June 19, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Cheruiyot (Guest) on June 17, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Benjamin Masanja (Guest) on May 12, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mahiga (Guest) on April 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on April 2, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on March 31, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on February 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mwakisu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mchome (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Yusra (Guest) on November 25, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 15, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 7, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on September 23, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on September 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 20, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on July 11, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on May 22, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on May 21, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on May 17, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Irene Akoth (Guest) on May 5, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Zakia (Guest) on April 30, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 25, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on April 16, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on April 12, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on April 11, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Susan Wangari (Guest) on April 5, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Abdullah (Guest) on March 4, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 2, 2020

😊🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on February 26, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kangethe (Guest) on February 22, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on January 25, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 24, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mwambui (Guest) on January 11, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Maulid (Guest) on December 22, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on November 26, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on November 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on November 18, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Asha (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on October 26, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salima (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 10, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on September 25, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Mrope (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Mollel (Guest) on September 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nuru (Guest) on September 3, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Wanjala (Guest) on August 17, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kassim (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Linda Karimi (Guest) on July 4, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More