Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Isaac Kiptoo (Guest) on October 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on October 12, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Paul Kamau (Guest) on September 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Latifa (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on August 18, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on August 12, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 23, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Majid (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Lissu (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kiza (Guest) on April 2, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on March 22, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on February 26, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on February 18, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Brian Karanja (Guest) on December 24, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on November 17, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on September 17, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on August 16, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on August 9, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Mushi (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Asha (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on June 4, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khamis (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on May 3, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Simon Kiprono (Guest) on April 3, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 31, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Josephine (Guest) on March 25, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Furaha (Guest) on March 13, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

David Sokoine (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on February 25, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on February 17, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 1, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on January 26, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 2, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on December 31, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 29, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

David Chacha (Guest) on December 27, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Mrope (Guest) on December 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mahiga (Guest) on December 9, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shabani (Guest) on December 5, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Betty Akinyi (Guest) on October 27, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Chris Okello (Guest) on October 19, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on October 1, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Chum (Guest) on September 11, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Fadhila (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More