Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea Nyoka hatar san Ambaye hajawah kutokea duniania.. wanadai kwamba nyoka huyo anaongezeka ulrefu wa 0.5sm kila akila chakula na huwa anakula chakula kuanzia sekunde 30 kurudi nyuma.. mpaka sasa hakuna siraha ya kuweza kumuua nyoka huyo isipokuwa akiji uma mwenye ndo anaweza kufa, wanasayansi hao walieleza japo uchunguz zaid bado unaendelea… huyu ni nyoka anayeua kuliko nyoka wote waliowah kutokea katika historia ya maisha ya mwanadam..

nyoka huyu hupatikana katika simu pekee za nokia toch katika sehem ya game inaitwa snake xenzia..

asanteni kwa kufurah na umakin mkubwa katika usomaji wa matini hii…

haya ni mambo ya wikiend jaman na iwe njema kwenu wote

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sofia (Guest) on May 6, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on May 4, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 4, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 28, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on January 31, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Nancy Kawawa (Guest) on December 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Stephen Kangethe (Guest) on December 12, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Raphael Okoth (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on October 30, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Mushi (Guest) on October 9, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on October 6, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

James Malima (Guest) on September 27, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on September 13, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on September 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Latifa (Guest) on August 28, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Paul Ndomba (Guest) on August 11, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Issa (Guest) on July 27, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Saidi (Guest) on July 15, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on July 14, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Philip Nyaga (Guest) on June 20, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on April 20, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on March 16, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on January 11, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 9, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joseph Mallya (Guest) on January 2, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on December 28, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on December 21, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on December 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Jane Muthoni (Guest) on November 16, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sarafina (Guest) on October 27, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Akinyi (Guest) on October 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Andrew Mahiga (Guest) on October 20, 2020

😊🀣πŸ”₯

Paul Ndomba (Guest) on October 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on October 4, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Henry Mollel (Guest) on August 12, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on July 18, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on May 31, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on May 6, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

John Malisa (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Nuru (Guest) on April 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nassor (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Selemani (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on December 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on December 19, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Mrema (Guest) on December 14, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on December 9, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Furaha (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Shabani (Guest) on October 9, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Faiza (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on September 12, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Mwita (Guest) on July 5, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on June 27, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Wanjala (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More