Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jacob Kiplangat (Guest) on July 6, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 27, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Muslima (Guest) on March 29, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shabani (Guest) on March 25, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on February 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on February 24, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on February 6, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on January 23, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Anna Malela (Guest) on January 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on November 28, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Nchi (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 17, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

James Kimani (Guest) on August 16, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on August 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on July 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Malisa (Guest) on May 16, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Susan Wangari (Guest) on May 16, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Binti (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwajabu (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Edward Lowassa (Guest) on April 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hashim (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Shamim (Guest) on April 4, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Sumari (Guest) on April 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Francis Mrope (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Njoroge (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kawawa (Guest) on February 27, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on February 22, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Alex Nyamweya (Guest) on February 16, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on February 12, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kevin Maina (Guest) on February 3, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Saidi (Guest) on January 21, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Mwikali (Guest) on January 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shani (Guest) on December 4, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Rose Mwinuka (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwajabu (Guest) on November 27, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on October 27, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Kahina (Guest) on August 24, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rubea (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwajabu (Guest) on August 6, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Salma (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Mwalimu (Guest) on June 22, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mercy Atieno (Guest) on May 7, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 26, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on April 22, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 12, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Sokoine (Guest) on April 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on February 25, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Diana Mallya (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ruth Wanjiku (Guest) on January 30, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Zakia (Guest) on January 24, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on January 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Related Posts

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More