Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abdullah (Guest) on January 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 17, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on December 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Wilson Ombati (Guest) on November 8, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 6, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on October 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on September 23, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Safiya (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Bahati (Guest) on September 15, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on September 5, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on August 6, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on July 9, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on July 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on July 5, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kijakazi (Guest) on June 29, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Hashim (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Komba (Guest) on May 12, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Aziza (Guest) on April 30, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2021

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwalimu (Guest) on April 6, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Zainab (Guest) on March 22, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Abdillah (Guest) on March 15, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Paul Ndomba (Guest) on February 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mchome (Guest) on February 12, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 1, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on January 26, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on January 23, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Stephen Kangethe (Guest) on January 1, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on December 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on December 4, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

James Kawawa (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elijah Mutua (Guest) on November 10, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on November 10, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on October 25, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fikiri (Guest) on September 27, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Josephine Nekesa (Guest) on September 7, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on July 10, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on May 29, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 28, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on April 6, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on March 22, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on February 25, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on February 12, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Cheruiyot (Guest) on February 2, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Wande (Guest) on January 28, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Christopher Oloo (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on December 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Tenga (Guest) on December 17, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on December 15, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Wanjala (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Mary Njeri (Guest) on December 6, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More