Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Mwambui (Guest) on July 20, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hahahahahahahahahahahahahahahahaha! Wabongo inatosha jaman

Isaac Kiptoo (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Richard Mulwa (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ndoto (Guest) on July 2, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mahiga (Guest) on June 23, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on June 10, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on June 5, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on May 27, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lydia Wanyama (Guest) on March 27, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on February 22, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Josephine Nduta (Guest) on December 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamila (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜† Kali sana!

David Nyerere (Guest) on October 2, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Yusuf (Guest) on September 18, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on September 14, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on August 24, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on August 5, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Miriam Mchome (Guest) on July 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on July 5, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Asha (Guest) on June 14, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Janet Sumaye (Guest) on May 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on April 4, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Carol Nyakio (Guest) on February 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on February 3, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on January 25, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 16, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on December 9, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on November 20, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Amina (Guest) on November 1, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 29, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on October 13, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Kazija (Guest) on October 2, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mchome (Guest) on September 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on July 15, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on June 21, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Nyambura (Guest) on June 9, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on May 25, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on May 23, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joyce Aoko (Guest) on April 24, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joy Wacera (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on April 8, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 6, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on March 21, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Nora Lowassa (Guest) on March 11, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on March 7, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on March 6, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on February 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Ramadhan (Guest) on February 9, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on February 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More