Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
Jamaa: dada mi nakupenda saana
Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
Dem: niache…
Jamaa: kweli nakupenda mpnz
Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarah Karani (Guest) on June 27, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Kamande (Guest) on June 22, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwachumu (Guest) on June 18, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nchi (Guest) on June 15, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 30, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Majid (Guest) on April 19, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kenneth Murithi (Guest) on March 1, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on January 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nahida (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Moses Mwita (Guest) on December 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on December 14, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on December 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mbithe (Guest) on November 15, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on October 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on September 30, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on September 26, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on September 13, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on August 23, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on August 19, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

James Kimani (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jane Muthui (Guest) on August 5, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mary Kendi (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on July 8, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Mwambui (Guest) on May 29, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 16, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Tenga (Guest) on March 11, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Furaha (Guest) on March 2, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on February 6, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Mchome (Guest) on February 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on January 7, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on November 28, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Hashim (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Alice Mrema (Guest) on October 26, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 19, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on October 14, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on October 3, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on September 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on September 9, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mahiga (Guest) on September 9, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 31, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Anna Malela (Guest) on August 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Kassim (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Linda Karimi (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Salum (Guest) on July 9, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Janet Sumaye (Guest) on July 3, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Bakari (Guest) on May 17, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on May 16, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on May 14, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Husna (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Related Posts

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More