Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Emily Chepngeno (Guest) on July 18, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on July 6, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on July 2, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on June 29, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Francis Mrope (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 13, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 28, 2025

hii imenipa furaha ya siku

Victor Malima (Guest) on March 29, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Guest (Guest) on January 15, 2026

Kuma ww andika

Isaac Kiptoo (Guest) on March 18, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on February 6, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 5, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 16, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 10, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on December 26, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on November 3, 2023

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on October 5, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Guest (Guest) on September 27, 2025

Kipaji wapi

Josephine Nduta (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on July 17, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on July 12, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 13, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Njeri (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 26, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on May 7, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarafina (Guest) on May 5, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on April 30, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Omari (Guest) on April 22, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on March 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on March 20, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on March 13, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on February 5, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mzee (Guest) on January 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 19, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Mollel (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on December 12, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Robert Okello (Guest) on November 12, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Linda Karimi (Guest) on November 6, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Wangui (Guest) on October 10, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on September 11, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zakaria (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Nyerere (Guest) on August 27, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on August 10, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Issack (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More