Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mahiga (Guest) on July 17, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on July 4, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Betty Kimaro (Guest) on June 24, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on June 18, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on May 23, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Susan Wangari (Guest) on May 9, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mashaka (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

David Nyerere (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Frank Macha (Guest) on February 24, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Guest (Guest) on December 6, 2025

dawa ya moto n moto

Samson Mahiga (Guest) on February 2, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kazija (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Agnes Sumaye (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 21, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Azima (Guest) on December 13, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on December 8, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Issa (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yusra (Guest) on November 9, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James Malima (Guest) on November 8, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Shabani (Guest) on October 29, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Mrope (Guest) on October 8, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Lowassa (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Abubakar (Guest) on September 23, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Vincent Mwangangi (Guest) on September 13, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Amollo (Guest) on September 10, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 9, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on September 8, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Minja (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 31, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Abdillah (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Arifa (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwajuma (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Mwangi (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on June 15, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Omar (Guest) on May 30, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Komba (Guest) on April 19, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarah Mbise (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on April 9, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Musyoka (Guest) on April 8, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nassar (Guest) on April 6, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Benjamin Masanja (Guest) on March 18, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on February 14, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mzee (Guest) on February 7, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Daniel Obura (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jackson Makori (Guest) on January 10, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jafari (Guest) on December 22, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Habiba (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 10, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 29, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on October 8, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Emily Chepngeno (Guest) on September 23, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on July 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More