Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Mahiga (Guest) on July 7, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Latifa (Guest) on June 30, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Masika (Guest) on June 28, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on June 19, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Wambura (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on June 12, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on June 8, 2024

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on June 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Shamsa (Guest) on May 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on April 22, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Alex Nakitare (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Samuel Were (Guest) on April 14, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 17, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on February 11, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Njoroge (Guest) on February 7, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Shani (Guest) on January 21, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Fikiri (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Bahati (Guest) on January 14, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Lowassa (Guest) on January 12, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on January 3, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwalimu (Guest) on January 1, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Maida (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mercy Atieno (Guest) on December 22, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 20, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Kimani (Guest) on November 23, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Kijakazi (Guest) on September 17, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

David Kawawa (Guest) on August 18, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on July 30, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Agnes Sumaye (Guest) on July 24, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on July 1, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Husna (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Ann Awino (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Brian Karanja (Guest) on May 10, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Victor Mwalimu (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Grace Mushi (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Nkya (Guest) on March 31, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Andrew Mchome (Guest) on March 14, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on March 11, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Catherine Naliaka (Guest) on March 3, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 2, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Robert Ndunguru (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on January 29, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 11, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mohamed (Guest) on January 4, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Janet Sumari (Guest) on December 23, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on December 10, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on December 8, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on November 14, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mzee (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on October 17, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Brian Karanja (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on August 22, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More