Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Amos Mwatija (User) on June 3, 2026

misemo hiyo nimeikubali mbavu zangu zinauma kwa kicheko

Janet Mbithe (Guest) on July 7, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 29, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on June 23, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Faith Kariuki (Guest) on June 10, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kevin Maina (Guest) on May 20, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on May 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on April 24, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

John Lissu (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ibrahim (Guest) on March 2, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Irene Akoth (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Omar (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on November 3, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on October 11, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Susan Wangari (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Brian Karanja (Guest) on September 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Khadija (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 8, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on August 27, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Khalifa (Guest) on August 1, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Kendi (Guest) on July 25, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Frank Macha (Guest) on July 18, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Otieno (Guest) on July 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Lowassa (Guest) on June 27, 2023

😊🀣πŸ”₯

Kenneth Murithi (Guest) on May 9, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on April 4, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Kassim (Guest) on March 31, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ann Wambui (Guest) on March 15, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Wanjiru (Guest) on February 19, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Omar (Guest) on February 2, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Umi (Guest) on January 30, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

David Chacha (Guest) on January 9, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on January 1, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on December 27, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on December 19, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on December 17, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Margaret Mahiga (Guest) on December 14, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on December 9, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Grace Minja (Guest) on December 2, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Tambwe (Guest) on November 11, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mumbua (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on October 12, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Michael Mboya (Guest) on October 10, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Minja (Guest) on September 27, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 11, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on September 6, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on August 22, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on August 13, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on August 9, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mahiga (Guest) on June 30, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on June 25, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Baraka (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Wilson Ombati (Guest) on June 9, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More