Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Miriam Mchome (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 22, 2024

🀣πŸ”₯😊

Charles Mrope (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on April 19, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on April 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salima (Guest) on March 31, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on March 1, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on February 20, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on January 12, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on January 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on December 20, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on December 4, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nahida (Guest) on November 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Kenneth Murithi (Guest) on October 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Farida (Guest) on October 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mrope (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Majid (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Ann Awino (Guest) on September 21, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Rose Kiwanga (Guest) on September 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 2, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on January 6, 2026

Kaja

Sarafina (Guest) on August 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on July 12, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 14, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 8, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on May 21, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

James Mduma (Guest) on April 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Kimario (Guest) on March 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Mahiga (Guest) on March 3, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Masika (Guest) on January 16, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Achieng (Guest) on January 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Husna (Guest) on January 6, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Mushi (Guest) on December 31, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on December 24, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Janet Mwikali (Guest) on November 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on November 13, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on November 8, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Daniel Obura (Guest) on October 20, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on October 18, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Maneno (Guest) on September 18, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

George Mallya (Guest) on September 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on August 30, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Moses Mwita (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Kawawa (Guest) on July 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on July 13, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More