Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
"Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..

Kabla hajamalizia sentensi simu
ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake.
Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku
jamaa anasikia

"Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile
nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni
20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio.
Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama
ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada
ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa
akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema
umenichoka nikusanye nguo zangu halafu
iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa
nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on July 12, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Malela (Guest) on June 20, 2024

😊🀣πŸ”₯

Catherine Mkumbo (Guest) on June 14, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Baridi (Guest) on April 15, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Sumari (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Biashara (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Zawadi (Guest) on March 16, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Komba (Guest) on February 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakaria (Guest) on January 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on January 24, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on January 14, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on November 1, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Francis Mrope (Guest) on October 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on September 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Joseph Mallya (Guest) on September 8, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on August 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on August 14, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on July 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on June 24, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on June 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on June 8, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jabir (Guest) on May 22, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrema (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Miriam Mchome (Guest) on May 17, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sumaya (Guest) on April 27, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on April 22, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on April 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Maulid (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Brian Karanja (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on February 9, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

David Chacha (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on December 15, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Ochieng (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on September 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 14, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 7, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Martin Otieno (Guest) on September 6, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on August 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 14, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shamsa (Guest) on June 8, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More