Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Josephine Nduta (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Yusuf (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Komba (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Leila (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nancy Kawawa (Guest) on March 10, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Peter Mbise (Guest) on February 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on January 14, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 8, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lucy Mushi (Guest) on December 4, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Abdullah (Guest) on November 30, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on November 18, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on November 3, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 27, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Sumaye (Guest) on October 25, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on October 25, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on September 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on September 8, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on July 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on July 15, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Abubakari (Guest) on July 3, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Mugendi (Guest) on June 20, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Miriam Mchome (Guest) on April 7, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Selemani (Guest) on March 27, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Betty Kimaro (Guest) on March 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on February 19, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Peter Mugendi (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mary Mrope (Guest) on January 24, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 18, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mazrui (Guest) on January 5, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alex Nyamweya (Guest) on December 21, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Elizabeth Malima (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nora Lowassa (Guest) on October 9, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mercy Atieno (Guest) on September 29, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on September 25, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on September 24, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Ochieng (Guest) on June 9, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on May 24, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on April 28, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on April 19, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on March 25, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on March 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Kassim (Guest) on February 17, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on December 15, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Rose Kiwanga (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Mushi (Guest) on November 26, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Achieng (Guest) on November 20, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on November 19, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Binti (Guest) on November 13, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Related Posts

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More