Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Jifunze kitu Kwenye mfano huu kuhusu Maombi na kuomba

Featured Image

Nabii mmoja aliumwa
na Jino, lilimtesa sana…
Akapiga magoti kumlilia
Mungu ili amponye..
Mungu akamuonesha mti
flani ili majani yake
Yapate kumtibu..
Akaenda kwenye mti ule,
Akachukua majani yake
akatumia na kweli
akapona…

50 Comments

Nguvu ya Huruma ya Mungu: Ukarabati wa Kina

Featured Image
Nguvu ya huruma ya Mungu ni sawa na upepo mwanana unaoleta uponyaji na ukarabati wa kina. Hata kama maisha yako yanaweza kutoa changamoto nyingi, usikate tamaa! Kuna tumaini na neema tele kutoka kwa Mungu. Karibu na upokee ukarabati wa kina kupitia huruma yake!
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu maisha ya sala?

Featured Image
Maisha ya Sala ni muhimu sana katika imani ya Kanisa Katoliki! Tunakaribishwa kuomba kwa moyo wote ili kupata amani na baraka zinazotokana na muungano wetu na Mungu. Sala ni nguvu yetu inayotusaidia kushinda majaribu ya maisha na kufikia maisha ya kudumu pamoja na Bwana wetu. Jifunze zaidi kuhusu imani hii yenye nguvu ya Kanisa Katoliki na maisha ya sala.
50 Comments

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Featured Image
50 Comments

Huruma ya Mungu: Msamaha na Upendo Usiokoma

Featured Image
Huruma ya Mungu ni upendo usiokoma, unaoweza kutuokoa na kutusamehe hata pale tunapokosea.
50 Comments

Njia Kuu 3 za Kuiishi Huruma ya Mungu

Featured Image
50 Comments

Historia Fupi ya Ibada ya Rozari

Featured Image
50 Comments

JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?

Featured Image
50 Comments

Mambo manne ya mwisho katika maisha

Featured Image
50 Comments

Ushauri wangu kwa leo, ni Heri kuchagua kunyamaza

Featured Image

MITHALI 11:12 Asiye na akili humdharau mwenziwe; Bali mtu aliye na ufahamu hunyamaza.

MITHALI 17:28 Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.

Changamoto kubwa tuliyonayo ni kwamba tunataka kuongea kila wakati, tunataka kujibu kila tunachokisikia, kila tunachokiona tunataka kukisemea kitu.

51 Comments