Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Roho Mtakatifu?

Featured Image
Mambo vipi rafiki yangu! Leo tutaangazia imani ya Kanisa Katoliki kuhusu Roho Mtakatifu. Hii ni sehemu muhimu sana ya imani yetu kama Wakatoliki na inatupa nguvu ya kiroho kila siku! Twende sasa tujifunze zaidi.
50 Comments

Majivuno na Kujikweza Mbele ya Mungu

Featured Image
50 Comments

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

Featured Image
50 Comments

AHADI 15 ZA ROZARI TAKATIFU

Featured Image
50 Comments

Siri ya kamba nyekundu

Featured Image

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rahabu. Huyu mwanamke aliwaokoa wapelelezi wa Israel waliotumwa kwenda kufanya uchunguzi ktk nchi yao.

Wakati wana wa Israel wanatoka Misri kuelekea nchi ya Kaanani, Mungu aliwaahidi kuwapa mji wa Yeriko. Kwahiyo walipofika ng'ambo ya mto Yordani, Yoshua akatuma wapelezi wawili kwenda kuipeleleza Yeriko kabla wana wa Israel kuivamia na kuitwaa. 

50 Comments

Kila kitu ni mali ya Mungu isipokua hiki

Featured Image

Kila kitu ni mali ya Mungu.

Kuwa na Mungu ni kuwa na kila kitu.

Hata mimi mwenyewe ni mali ya Mungu.

50 Comments

Ibada ya Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Upendo na Ukarimu

Featured Image
Ibada ya Huruma ya Mungu ni chanzo cha upendo na ukarimu ambacho kinaweza kubadilisha maisha yako! Jifunze jinsi ya kuishi kwa moyo wa kujali na kuwa baraka kwa wengine.
50 Comments

Maana halisi ya kuolewa au ya kuwa mke

Featured Image

NDOA sio kichaka cha kujificha kukimbia matatizo. NDOA sio mahali pa kutolea mkosi. Wala sio mahali pa kupunguzia shida. Ndoa sio mbadala wa elimu na michakato ya kimaisha. Huolewi ili kupunguza adha za maisha. NDOA ni jukumu zito kuliko hata kusoma masters degree ya Neuro-surgeon. Wengi hamjaweza kumudu maisha yenu binafsi na bado mnalilia Mungu kuwaongezea jukumu la kumeneji maisha ya mtu mwingine.

50 Comments

Huruma ya Mungu: Faraja katika Majaribu na Huzuni

Featured Image
Huruma ya Mungu ni faraja tunayopata wakati wa majaribu na huzuni. Ni kama jua linalochomoza baada ya usiku mrefu. #Furaha #Mungu #Huruma #Faraja #Majaribu #Huzuni
50 Comments

Je Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?

Featured Image
51 Comments