Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Asili na matumizi ya Neno "AMINA" kama kiitikio muhimu katika Liturujia

Featured Image
50 Comments

JE, WAKATOLIKI WANABUDU SANAMU?

Featured Image
50 Comments

Mafundisho Kuhusu Bikira Maria

Featured Image
50 Comments

Kupokea Huruma ya Mungu: Kuishi kwa Shukrani na Ukarimu

Featured Image
Kupokea huruma ya Mungu ni baraka kubwa sana! Ni jambo la kushukuru na kufurahia. Sisi tunapaswa kuishi kwa shukrani na ukarimu kwa sababu tumepokea mengi kutoka kwa Mungu. Ni wakati wa kushiriki neema hii na wengine kwa upendo na wema.
50 Comments

Swala la Mapadri kutooa limeandikwa wapi katika Biblia?

Featured Image
50 Comments

27. Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Daraja Takatifu?

Featured Image
Unveiling the Truth: What Does the Catholic Church Believe About Holy Orders?
50 Comments

Je Bikira Maria Alizaa Watoto Wengine?

Featured Image
51 Comments

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu katika Ekaristi Takatifu?

Featured Image
Does the Catholic Church believe in God through the Holy Eucharist? Absolutely! In fact, the Eucharist is one of the most important and revered sacraments in Catholicism.
50 Comments

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu utunzaji wa mazingira?

Featured Image
Hata kama unafunga siku ya Ijumaa, usisahau kuacha mazingira yako safi! Kanisa Katoliki linasisitiza juu ya utunzaji wa mazingira kwa ajili ya vizazi vijavyo. Fanya sehemu yako kwa kuhakikisha mazingira yako ni safi na salama kwa wote.
50 Comments

Siri ya kamba nyekundu

Featured Image

Miaka zaidi ya 3000 iliyopita katika mji wa Yeriko alikuwepo mwanamke mmoja kahaba, jina lake Rahabu. Huyu mwanamke aliwaokoa wapelelezi wa Israel waliotumwa kwenda kufanya uchunguzi ktk nchi yao.

Wakati wana wa Israel wanatoka Misri kuelekea nchi ya Kaanani, Mungu aliwaahidi kuwapa mji wa Yeriko. Kwahiyo walipofika ng'ambo ya mto Yordani, Yoshua akatuma wapelezi wawili kwenda kuipeleleza Yeriko kabla wana wa Israel kuivamia na kuitwaa. 

50 Comments