Ujumbe wa kimahaba wa kumtumia msichana umpendaye kumwambia kuwa utampenda daima
Updated at: 2024-05-25 15:36:23 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
nashtumiwa kwa kumpenda mcchana mmoja aliyeutesa moyo wangu mahakama imenihukumu kifo kwa kunyongwa na kamba upendo lkn kwa msamaha wa raisi mapenzi nmehukumiwa kuwa mwaminif kwake nakumpenda zaidi ya hapo daima milele. nakupenda mpz
Updated at: 2024-05-25 15:26:08 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya.
SMS ya kumtumia mpenzi wako kujivunia kuwa na yeye
Updated at: 2024-05-25 15:24:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia.
Ujumbe wa kimahaba kumuomba mpenzi wako asichoke kuwasiliana na wewe kwa kutumia simu
Updated at: 2024-05-25 15:25:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Simu huboa wakati mwingine, kwani ni lazima ufungue meseji na kuzisoma, kuichaji simu kila mara, lakini usichoke kwani ndiyo inayotuwezesha tuwasiliane
Sio Maua yote Huonesha Upendo,
"Ni Waridi pekee"
sio Miti yote Hustawi Jangwani
"ni Mtende pekee"
Updated at: 2024-05-25 15:37:30 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Sio Maua yote Huonesha Upendo,
"Ni Waridi pekee"
sio Miti yote Hustawi Jangwani
"ni Mtende pekee"
sio watu wote wanaokukumbuka muda huu ni mm pekee. Uhali gani?