Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa
Updated at: 2024-05-25 16:56:16 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
ππ kweli nimeamin mitandao inahribu watu
Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabaran kapendeza jamaa kamwendea Dada akamwambia!Dada nice photo Β ππππ
Read more
Close
Cheki hawa wachungaji
Updated at: 2024-05-25 17:15:16 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
CHEKA KIDOGO
Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.
MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.
WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.
WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:
We vp unatatizo gani mbona unalia???
AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!
πππππππ»ππ
Read more
Close
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu
Updated at: 2024-05-25 17:01:11 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHEβ¦.. Β ππ
Read more
Close
Hizi sifa zimezidi sasa
Updated at: 2024-05-25 17:09:02 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
MADEM KWA SIFA.. kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utamsikiaΒ BABY KARIBU TUMEZE DAWA Β πππ
Read more
Close
Sio kwa wivu huu
Updated at: 2024-05-25 17:13:57 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.
Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na kwenda kwa jamaa mwenye kichongeo kipya β¦inauma sanaaβ¦
WANAWAKE SIO WATU WA MCHEZO MCHEZO ASEEE Bac tuu
Read more
Close
Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko
Updated at: 2024-05-25 16:57:07 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka kuwa umesahau sabuniβ¦unaenda kuchukua sabuni kurudi bafuni, unakuta ng'ombe amekunywa maji yote..unaamua kufuata mengne,unarudi unakuta mbuzi kala sabuniβ¦ππππ
Read more
Close
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu
Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha 1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture 2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation
Β
Updated at: 2023-04-29 22:53:54 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha 1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture 2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation
3. Naitwa Emmanuel niko UDOM mwaka3 nasoma computer science bas jamaa nae akainuka kwa kusuasua huku akijishtukia akasema"Naitwa Elisha niko Tanesco mwaka wa 7 nasoma mita"
Read more
Close
Acha usumbufuβ¦
Updated at: 2024-05-25 17:47:55 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA
HIVI ULIDHANI MWL.NYERERE ALISHINDWA KUKAA NA MKEWE MARIA KWNY NOTI YA BUKU
πππππππ
Acha Usumbufuβ¦..
Read more
Close
Hapo sasa!! Ni shida!!
Updated at: 2024-05-25 18:11:31 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero? Hapo ndio unajua shida siyo wewe πππππππππππππππ
Read more
Close
Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake
Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-
Demu: hello baby wangu leo bata wapi?
Updated at: 2023-04-29 22:53:56 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:- Demu: hello baby wangu leo bata wapi? Jamaa: jamani bby si bandani kwaoβ¦. Demu: mmmmmmmh!
Read more
Close