Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
237 Comments

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care..
238 Comments

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Featured Image
240 Comments

Mambo ya kijijini haya!

Featured Image
236 Comments

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Featured Image
236 Comments

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Featured Image
236 Comments

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Featured Image
236 Comments

Huyu mlinzi bwana

Featured Image
236 Comments

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Featured Image
237 Comments