Umakini
Updated at: 2024-05-23 16:12:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
UMAKINI ni siri kuu ambayo wenye akili wote, wasomi na wanasayansi wanaitegemea.
Read more
Close
Mke Na Mme Kusaidiana
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Inapendeza kweli mke na Mume kusaidiana. Kusaidiana ni Kushirikiana lakini kugawana majukumu ni kupeana mzigo
Read more
Close
Kushindwa jambo kubwa
Updated at: 2024-05-23 16:12:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kujaribu kufanya jambo kubwa la kipekee ni kushinda hata kama halijafanikiwa.
Read more
Close
Kujithamanisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujithaminishe wenyewe kwa yale tunayoona tunauwezo wa kuyafanya japokuwa watu wengine wanatuthamanisha kwa yale wanayoyaona tumeshayafanya
Read more
Close
Biashara ya maisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:48 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Biashara ya maisha ni kusonga mbele tuu. Maisha hayarudi nyuma wala hayafai kurudisha nyuma. Maisha yanasonga mbele.
Read more
Close
Maisha ya ujana
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Maisha ya ujana ni kufanya mema au mabaya, kushinda au kushindwa. Uzee ni sherehe au majuto ya ujana.
Read more
Close
Thamani ya faida
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Read more
Close
Kutokuwa na kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kukosa mtu, kitu au jambo fulani kunasababila Moyo kujenga upendo kwenye mtu, kitu au jambo ulilolikosa.
Read more
Close
Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu
Updated at: 2024-05-23 16:12:44 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.
Read more
Close
Hakuna uwezo Bila fursa
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Read more
Close