Hakuna uwezo Bila fursa
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Hakuna uwezo bila fursa. Huwezi kusema unauwezo wa kitu kama hauna fursa ya kukifanya.
Read more
Close
Amini unashinda
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Amini kuwa unashinda na wewe utashinda. Hata vita wanashinda wale wanaoamini katika ushindi. Kutokujiamini ni sawa na kushindwa tayari.
Read more
Close
Kinga ya magonjwa na madhara yote
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Katika maisha, kinga kuu ya magonjwa na majanga yote ni kujikatalia au kujinyima.
Read more
Close
Kuzima hasira
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kama vile moto unavyozimwa na maji ndivyo vivyo hivyo hasira inamalizwa na maneno ya upole.
Read more
Close
Umbali na upendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unapokosa kitu ukipendacho kwa muda mfupi kinapungua thamani, ukikikosa kwa muda mrefu thamani yake yote hupotea.
Read more
Close
Siri ya kushinda hasira
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Siri kuu ya kuishinda hasira yako ni kusubiri kabla ya kutenda unapokuwa na hasira.
Read more
Close
Maneno na matendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uwe mzuri kwenye kufanya kama ulivyo kwenye kufikiri. Matendo yako yafanane na maneno na maneno na matendo.
Read more
Close
Kuacha jambo au kitu chochote
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuacha kitu chochote kabisa moja kwa moja ni rahisi sana kuliko kufanya kitu hicho kidogokidogo kwa wastani. Usijidanganye utafanya kidogo au utaacha kidogo. Acha Kabisa na usifanye tena.
Read more
Close
Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu
Updated at: 2024-05-23 16:12:44 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.
Read more
Close
Tuwe wenye Hodari na wenye uwezo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujenge uhodari na uwezo utakaotusaidia kutumia fursa zilizo wazi mbele yetu.
Read more
Close