Jaribu Mambo Kadiri uwezavyo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jarbu Mambo mengi kadiri uwezavyo kwani kwa kujaribu ndivyo tunajua tunaweza au hatuwezi. Kamwe usiseme huwezi jambo kabla ya kujaribu.
Read more
Close
Changamoto na ugumu
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Changamoto na ugumu wa jambo upo kwa wale wanaolifanya. Huwezi kukaa na kutazama jambo bila kulifanya na kisha kujua changamoto zake.
Read more
Close
Tuwe wenye Hodari na wenye uwezo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujenge uhodari na uwezo utakaotusaidia kutumia fursa zilizo wazi mbele yetu.
Read more
Close
Mfu wa Mawazo
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiona unaweza ukakaa siku nzima bila hata kuwa na wazo moja jipya ujue umezeeka akili tayari na kesho unaweza ukawa haupo
Read more
Close
Mwanzo mzuri wa kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kitu chochote kinapofanywa vizuri mwanzoni ni sawa na kimefanywa nusu tayari.
Read more
Close
Uwezo wa Kutumia ulichonacho
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiweza kutumia vizuri kipaji au uwezo mdogo ulionao itakufanya uwe bora na mwenye sifa nzuri kuliko yule mwenye uwezo mkubwa.
Read more
Close
Amini unashinda
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Amini kuwa unashinda na wewe utashinda. Hata vita wanashinda wale wanaoamini katika ushindi. Kutokujiamini ni sawa na kushindwa tayari.
Read more
Close
Tamaa ni asili
Updated at: 2024-05-23 16:12:37 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tamaa ni tabia ya kiasili ya kila mtu, tofauti ya mtu na mtu ni namna ya kukabili tamaa.
Read more
Close
Uzuri na ubora
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uzuri wa kitu huvutia MACHO lakini ubora wa kitu huuteka MOYO daima. Uzuri haudumu.
Read more
Close
Urithi wa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kila mtu ni mrithi wake yeye mwenyewe. Mafanikio yako ya baadae ni urithi wako ulioutengeneza hapo awali. Utajiri wako wa sasa unatokana na uliyoyawekeza miaka ya nyuma na utajiri wako ujao ni yale unayoyawekeza sasa.
Read more
Close