Biashara ya maisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:48 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Biashara ya maisha ni kusonga mbele tuu. Maisha hayarudi nyuma wala hayafai kurudisha nyuma. Maisha yanasonga mbele.
Read more
Close
Maneno na matendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Uwe mzuri kwenye kufanya kama ulivyo kwenye kufikiri. Matendo yako yafanane na maneno na maneno na matendo.
Read more
Close
Kuacha jambo au kitu chochote
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kuacha kitu chochote kabisa moja kwa moja ni rahisi sana kuliko kufanya kitu hicho kidogokidogo kwa wastani. Usijidanganye utafanya kidogo au utaacha kidogo. Acha Kabisa na usifanye tena.
Read more
Close
Thamani ya faida
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Read more
Close
Kutokuwa na kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kukosa mtu, kitu au jambo fulani kunasababila Moyo kujenga upendo kwenye mtu, kitu au jambo ulilolikosa.
Read more
Close
Kuzima hasira
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kama vile moto unavyozimwa na maji ndivyo vivyo hivyo hasira inamalizwa na maneno ya upole.
Read more
Close
Kufanya Biashara vizuri
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukitaka kufanya biashara kwa ufanisi; wakati wa kununua nunua ukiwa na mtazamo wa muuzaji kwa kufikiri kama wewe ungekua ndio unauza ungeuzaje, na Wakati wa kuuza uza ukiwa na mtazamo wa mnunuzi kwa kufikiri kama ungekua wewe ndiye mnunuzi ungenunuaje.
Read more
Close
Tuwe wenye Hodari na wenye uwezo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujenge uhodari na uwezo utakaotusaidia kutumia fursa zilizo wazi mbele yetu.
Read more
Close
Kujithamanisha
Updated at: 2024-05-23 16:12:47 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujithaminishe wenyewe kwa yale tunayoona tunauwezo wa kuyafanya japokuwa watu wengine wanatuthamanisha kwa yale wanayoyaona tumeshayafanya
Read more
Close
Amini unashinda
Updated at: 2024-05-23 16:12:49 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Amini kuwa unashinda na wewe utashinda. Hata vita wanashinda wale wanaoamini katika ushindi. Kutokujiamini ni sawa na kushindwa tayari.
Read more
Close