Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Jifunze kupitia mfano huu wa ufutio na penseli ✏

Featured Image

¶>PENSELI: "Nisamehe sana"

UFUUTIO: kwa nini? Mbona hujanikosea lolote?

PENSELI: Nisamehe sana unaumia kwa ajili yangu, kila ninapofanya makosa siku zote upo kwa ajili ya kuyafuta, ila kila unapofuta makosa yangu unaumia na kupoteza sehemu yako na umaendelea kupungua kadiri unavyofuta makosa yangu……. nisamehe sana ndugu!

0 Comments

Vitu (6) sita usivyotakiwa kufanya kabla ya kulala

Featured Image

1. USILALE UKIWA UMEVAA SAA.


Saa ya mkononi ina madhara iwapo
utaivaa kwa muda mrefu,
wanasayansi
wanashauri sio sahihi kulala ukiwa
umevaa saa mkononi.

 

0 Comments

Misemo 50 ya Ujasiri na Motisha ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Featured Image
0 Comments

Misemo 50 ya Uhusiano na Marafiki ya kubadili mtazamo wa maisha yako

Featured Image
0 Comments